sw_tn/mat/21/42.md

814 B

Sentensi unganishi

Yesu anaanza kuelezea mafano wa watumishi wapinazani

Maelezo kwa ujumla

Yesu anamnukuu nabii Isaya kuonesha kwamba Mungu atamheshimu yule ambaye viongozi wa dini wanamkataa.

Yesu akawaambia

Tazama 21:40

Hamkusomakatika maandiko ... machoni'?

"Fikiria juu ya kile ambacho mmesoma ... macho"

Jiwe waliliolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni

Yesu ananukuu kutoka Zaburi. Hii ni sitiari inamaanisha viongozi wa dini, kama wajenzi, watamkataa Yesu, lakini Mungu atamfanya kuwa wa muhinmu katika ufalme wake, kama jiwe kuu la pembeni katika ujenzi.

limekuwa jiwe kuu la pembeni

"limekuwa jiwe kuu la pembeni"

Hili lilitoka kwa Bwana

"Bwana ndiye aliyefanya haya mabadiliko

inashangaza machoni petu

Kirai cha "machoni petu" kinamaanisha kuona. "ni maajabu kuona"