forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.1 KiB
Markdown
32 lines
1.1 KiB
Markdown
# Wakasema
|
|
|
|
"Makuhani wakuu na wazee walisema"
|
|
|
|
# Yesu akawaambia
|
|
|
|
Yesu aliwaambia wakuu wa makuhani na wazee"
|
|
|
|
# Kweli nawaambieni
|
|
|
|
"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atasema baadaye
|
|
|
|
# Wakusanya ushuru na makahaba wataingia kwenye ufalme wa Mungu kabla Yenu kuingia
|
|
|
|
Neno "ufalme wa Mungu" linamaanisha utawala wa Mungu kama Mfalme. "Mungu atakaposimamisha utawalawake duniani, atawabariki watoza ushuru na makahaba kwa kuwatawala kabla ya kufanya hivyo kwenu"
|
|
|
|
# kabla yenu kuingia
|
|
|
|
Yaweza 1)Yesu atawapokea watoza ushuru na makahaba kabla ya kuwapokea viongozi wa dini 2) Mungu atawapokea watoza ushuru na makahaba badala ya kuwapokea viongozi wa dini wa Kiyahudi
|
|
|
|
# Yohana alikuja kwenu
|
|
|
|
Kiwakilishi cha "ninyi" ni cha wingi na kinamaanisha watu wote wa Israel na wala si viongozi wadini tu. "Yohana alikuja kwa watu wa Israel"
|
|
|
|
# kwa njia iliyo nyoofu
|
|
|
|
Hii ni nahau inayomaanisha kuwa Yohana aliwaonesha watu njia sahihi ya maisha. "na aliwaambia njia sahihi ambayo Mungu anataka ninyi muishi"
|
|
|
|
# hamkumwamini
|
|
|
|
kiwakilishi cha"hamku.." ni cha wingi. nacho kinamaanisha viongoziwa dini.
|