# Wakasema "Makuhani wakuu na wazee walisema" # Yesu akawaambia Yesu aliwaambia wakuu wa makuhani na wazee" # Kweli nawaambieni "Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atasema baadaye # Wakusanya ushuru na makahaba wataingia kwenye ufalme wa Mungu kabla Yenu kuingia Neno "ufalme wa Mungu" linamaanisha utawala wa Mungu kama Mfalme. "Mungu atakaposimamisha utawalawake duniani, atawabariki watoza ushuru na makahaba kwa kuwatawala kabla ya kufanya hivyo kwenu" # kabla yenu kuingia Yaweza 1)Yesu atawapokea watoza ushuru na makahaba kabla ya kuwapokea viongozi wa dini 2) Mungu atawapokea watoza ushuru na makahaba badala ya kuwapokea viongozi wa dini wa Kiyahudi # Yohana alikuja kwenu Kiwakilishi cha "ninyi" ni cha wingi na kinamaanisha watu wote wa Israel na wala si viongozi wadini tu. "Yohana alikuja kwa watu wa Israel" # kwa njia iliyo nyoofu Hii ni nahau inayomaanisha kuwa Yohana aliwaonesha watu njia sahihi ya maisha. "na aliwaambia njia sahihi ambayo Mungu anataka ninyi muishi" # hamkumwamini kiwakilishi cha"hamku.." ni cha wingi. nacho kinamaanisha viongoziwa dini.