forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.3 KiB
Markdown
40 lines
1.3 KiB
Markdown
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Katika mstari wa 16,Yesu anatumia nukuu toka Zaburi kuthibitisha jinsi watu walivyokuwa wamemwitikia
|
|
|
|
# maajabu aliyoyataenda
|
|
|
|
"vitu vya kushangaza" au "miujiza." Hii inamaanisha Yesu alivyowaponya vipofu na vilema kati ka 21:12
|
|
|
|
# Hosana
|
|
|
|
Tazama 21:9
|
|
|
|
# Mwana wa Daudi
|
|
|
|
Tazama 21:9
|
|
|
|
# walishikwa na hasira
|
|
|
|
Inamaanisha kuwa walishikwa na hasira kwa sababu hawakuamini kuwa Yesu ndiyo Kristo na hawakutaka watu wamsifu. "Walikasirika sana kwa sababu watu walikuwa wanamsifu"
|
|
|
|
# umesikia kile kinachosemwa na hawa watu?
|
|
|
|
Wakuu wa Makuhani na waandishi wanauliza swali hili kumkemea Yesu kwa sababu wanamchukia, "Usiwaruhusu watu kusema mambo haya juu yako"
|
|
|
|
# Lakini hamjawahi kusoma ... sifakamili?
|
|
|
|
Yesu anauliza swali hili kuwakumbusha wakuu wa makuhani na waandishi kile walichosoma kwenye maandiko. "Naam, nawasikia, lakini inawapasa mkumbuke mlichokisoma katika maandiko ... sifa"
|
|
|
|
# Lakini hamkusoma...sifu'?
|
|
|
|
"Ndiyo nimewasikia lakini mnatakiwa kukumbuka mlichokisoma katika maandiko matakatifu...sifu'."
|
|
|
|
# kutoka kwa midomo ya watoto na watoto wachanga mnayo sifa kamili
|
|
|
|
Kirai hiki "kutoka kwenye midomo" kinamaanisha kuongea. "uliwafanya watoto na watoto wachanga kusema sifa kamili"
|
|
|
|
# Yesu akawaacha
|
|
|
|
"Yesu aliwaacha makuhani wakuu na waandishi"
|