1.1 KiB
Sentensi unganishi
Hii inaanzisha habari ya Yesu alipoingia Hekaluni
Maelezo kwa ujumla
Katika msari wa 13, Yesu anamnukuu nabii Isaya kuwakememea wachuuzina wabadilishaji wa fedha.
Yesu akaingia hekaluni
Yesu hakuliingia lile hekalu halisi. Aliingia kwenye lile korido la hekalu
waliokuwa wakinunua na kuuza
Wachhuzi waliokuwa wakiuza wanyama na bidhaa ziingine ambavyo wasafiri walinunua ili wapate sadaka halisi ya kutoa hekeluni.
Akawaambia
"Yesu aliwaambia wale waliokuwa wanabadilisha fedha na kununua na kuuza vitu"
Imeandkikwa
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Nabii aliandika zamani za kale" au "Mungu alishasema tangu zamani
Nyunba yangu itaitwa
"Nyumba yangu itaitwa"
Nyumba yangu
Kiwakilishi "yangu" kinamaanisha Mungu "Nyumba" inamaanisha hekalu
nyumba ya maombi
"mahali ambapo watu wataomba
Pango la wanyang'anyi
Yesu anatumia sitiari kuwakemea watu wanouza na kununua bidhaa hekaluni. "Kama mahali ambapo wanyang'nyi hujificha"
vipofu na vilema
wale waliokuwa vipofu na vilema"
mlemavu
kuwa na mguu ulioumia ambao unaosababisha kutembea kwa tabu"