sw_tn/mat/21/12.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Hii inaanzisha habari ya Yesu alipoingia Hekaluni

Maelezo kwa ujumla

Katika msari wa 13, Yesu anamnukuu nabii Isaya kuwakememea wachuuzina wabadilishaji wa fedha.

Yesu akaingia hekaluni

Yesu hakuliingia lile hekalu halisi. Aliingia kwenye lile korido la hekalu

waliokuwa wakinunua na kuuza

Wachhuzi waliokuwa wakiuza wanyama na bidhaa ziingine ambavyo wasafiri walinunua ili wapate sadaka halisi ya kutoa hekeluni.

Akawaambia

"Yesu aliwaambia wale waliokuwa wanabadilisha fedha na kununua na kuuza vitu"

Imeandkikwa

Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Nabii aliandika zamani za kale" au "Mungu alishasema tangu zamani

Nyunba yangu itaitwa

"Nyumba yangu itaitwa"

Nyumba yangu

Kiwakilishi "yangu" kinamaanisha Mungu "Nyumba" inamaanisha hekalu

nyumba ya maombi

"mahali ambapo watu wataomba

Pango la wanyang'anyi

Yesu anatumia sitiari kuwakemea watu wanouza na kununua bidhaa hekaluni. "Kama mahali ambapo wanyang'nyi hujificha"

vipofu na vilema

wale waliokuwa vipofu na vilema"

mlemavu

kuwa na mguu ulioumia ambao unaosababisha kutembea kwa tabu"