forked from WA-Catalog/sw_tn
48 lines
1.1 KiB
Markdown
48 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hii inaanzisha habari ya Yesu alipoingia Hekaluni
|
||
|
|
||
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Katika msari wa 13, Yesu anamnukuu nabii Isaya kuwakememea wachuuzina wabadilishaji wa fedha.
|
||
|
|
||
|
# Yesu akaingia hekaluni
|
||
|
|
||
|
Yesu hakuliingia lile hekalu halisi. Aliingia kwenye lile korido la hekalu
|
||
|
|
||
|
# waliokuwa wakinunua na kuuza
|
||
|
|
||
|
Wachhuzi waliokuwa wakiuza wanyama na bidhaa ziingine ambavyo wasafiri walinunua ili wapate sadaka halisi ya kutoa hekeluni.
|
||
|
|
||
|
# Akawaambia
|
||
|
|
||
|
"Yesu aliwaambia wale waliokuwa wanabadilisha fedha na kununua na kuuza vitu"
|
||
|
|
||
|
# Imeandkikwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika mfumo tendaji. "Nabii aliandika zamani za kale" au "Mungu alishasema tangu zamani
|
||
|
|
||
|
# Nyunba yangu itaitwa
|
||
|
|
||
|
"Nyumba yangu itaitwa"
|
||
|
|
||
|
# Nyumba yangu
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi "yangu" kinamaanisha Mungu "Nyumba" inamaanisha hekalu
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya maombi
|
||
|
|
||
|
"mahali ambapo watu wataomba
|
||
|
|
||
|
# Pango la wanyang'anyi
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia sitiari kuwakemea watu wanouza na kununua bidhaa hekaluni. "Kama mahali ambapo wanyang'nyi hujificha"
|
||
|
|
||
|
# vipofu na vilema
|
||
|
|
||
|
wale waliokuwa vipofu na vilema"
|
||
|
|
||
|
# mlemavu
|
||
|
|
||
|
kuwa na mguu ulioumia ambao unaosababisha kutembea kwa tabu"
|