forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
877 B
Markdown
32 lines
877 B
Markdown
# Taarifa kwa ujumla
|
|
|
|
Hapa mwandishi anamnukuu nabii Zecharia kuonesha kuwa Yesu anataimiza unabii kwa kumpanda mwanapunda kuelekea Yerusalemu.
|
|
|
|
# Sasa
|
|
|
|
Hili neno limetumika hapa kuonesha mwanzo wa habari mpya. Hapa Mathayo anafafanua jinsi matendo ya Yesu yanatimiza maandiko
|
|
|
|
# Jambo hili lilitokea lile lililonenwa ili kupitia kwa nabii litimizwe
|
|
|
|
Jambo hili linaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Hili lilitokea ili Yesu atimize kile alichosema Mungu kupitia manabii tangu zamani za kale"
|
|
|
|
# kupitia kwa nabii
|
|
|
|
"kupitia kwa nabii Zekaria"
|
|
|
|
# Binti wa sayuni
|
|
|
|
Binti wa mji inamaanisha watu wa ule mji. "watu wa mji ule" au"watu waishio Sayuni"
|
|
|
|
# Sayuni
|
|
|
|
Hili ni jina jingiine la Yerusalemu
|
|
|
|
# Mwanapunda mme, mwanapunda mchanga
|
|
|
|
Neno mwanapunda na mwanapunda mchanga inamaanisha mnyama yuleyule, haimaanishi wanyama wawili tofauti
|
|
|
|
# mwanapunda
|
|
|
|
dume changa la punda
|