sw_tn/mat/21/04.md

877 B

Taarifa kwa ujumla

Hapa mwandishi anamnukuu nabii Zecharia kuonesha kuwa Yesu anataimiza unabii kwa kumpanda mwanapunda kuelekea Yerusalemu.

Sasa

Hili neno limetumika hapa kuonesha mwanzo wa habari mpya. Hapa Mathayo anafafanua jinsi matendo ya Yesu yanatimiza maandiko

Jambo hili lilitokea lile lililonenwa ili kupitia kwa nabii litimizwe

Jambo hili linaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "Hili lilitokea ili Yesu atimize kile alichosema Mungu kupitia manabii tangu zamani za kale"

kupitia kwa nabii

"kupitia kwa nabii Zekaria"

Binti wa sayuni

Binti wa mji inamaanisha watu wa ule mji. "watu wa mji ule" au"watu waishio Sayuni"

Sayuni

Hili ni jina jingiine la Yerusalemu

Mwanapunda mme, mwanapunda mchanga

Neno mwanapunda na mwanapunda mchanga inamaanisha mnyama yuleyule, haimaanishi wanyama wawili tofauti

mwanapunda

dume changa la punda