forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.1 KiB
Markdown
40 lines
1.1 KiB
Markdown
# Haujui
|
|
|
|
Hapa "ham" iko katika wingi na inamaanisha mama na watoto
|
|
|
|
# Je! unaweza
|
|
|
|
Hapa "mna" ni wingi, lakini Yesu anasema na wale wana wawili.
|
|
|
|
# kukinywea kikombe ambacho nitakinywea
|
|
|
|
Hii ni nahau inayomaanisha kupita katika mateso. "kupitia mateso ambayo punde nitayapitia"
|
|
|
|
# wakamwambia
|
|
|
|
"wale wana wa Zebebdayo walimwambia" au "Yakobo na Yohana walisema"
|
|
|
|
# kikombe changu hakika mtakinywea
|
|
|
|
Hii ni nahau kupitia dhiki. "kwa hakika mtateseka kama nitakavyoteseka
|
|
|
|
# mkono wa kulia ... mkono wa kushoto
|
|
|
|
tazama 20:20
|
|
|
|
# ni kwale ambao imekwisha kuandaliwa na baba yangu
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Baba yangu amekwisha kuyaandaa hayo maeneo, na atawapatia wale anaowachagua.
|
|
|
|
# Baba yangu
|
|
|
|
Hiki ni cheo muhimu kwa ajili ya Mungu kinachoonesha mahusiano kati ya Yesu na Mungu.
|
|
|
|
# waliposikia hivyo
|
|
|
|
"Waliposikia ambacho Yakobo na Yohana walimwuliza Yesu"
|
|
|
|
# walihuzunishwa sana na wale ndugu wawili
|
|
|
|
Kama inawezekana unaweza kukiweka wazi kilichowahuzunisha wale wanafunzi kumi. "Walikasirishwa sana na wale ndugu wawili kwa sababu kilammoja wao alitaka kuketi kwenye upande wa heshima karibu na Yesu.
|