sw_tn/mat/20/15.md

916 B

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha mfano wake juu ya mmiliki wa shamba aliyeajili wafanya kazi

Je! si haki kwangu kufanya kile ninachotaka juu ya mali zangu?

Yule mmiliki wa shamba anatumia swali kuwanyamazi wafanyakazi waliokuwa wakilalamika. "Ninaweza kufanya chochote ninachotakajuuya mali yangu"

Au jicho lako ni ovu kwa sababu mimi ni mwema?

Yule mmiliki wa shanba anaatumia swali kuwanyamazisha wale wafanyakazi waliokuwa wakilalamika. "Msiwe na wivu kwa sababu ya ukarimu wangu kwa watu wengine

Au mnaona wivu kwa sababu ya ukarimu wangu?

Yule mmiliki w a shamba anatumia swali kuwanyamazisha wafanyakazi waliokuwa wakilalamika. "Msione wivu kwa sababu ya ukarimu kwa watu wengine"

wa mwisho atakuwa wa kwanza na kwanza atakuwa wa mwisho.

Tazama 19:29

Hivyo wa mwisho atakuwa wa kwanza

Yesu anasema kwa kuhitimisha kwa mfano huu. "Ndipo Yesu aliposema. 'wa mwisho atakuwa wa kwanza'"