sw_tn/mat/20/13.md

441 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kueleza mfano

Mmoja wao

"mmoja wa wafanyakazi waliofanyakazi kwa muda mrefu

Rafiki

Tumia neno ambalo mtu moja angelitumia kumtambulisha mtu mwingine ambaye anamkemea kwa upole

Je, hatukukubaliana na mimi kwa dinari moja

Mmilki wa shamba anatumia swali kumkemea mfanykazi aliyekuwa akilalamika. "tumeshakubaliana kuwa nitakulipa dinari moja"

Dinari moja

"malipo ya kibarua ya siku moja"