forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
705 B
Markdown
36 lines
705 B
Markdown
# Wakamwambia
|
|
|
|
"Mafarisayo walimwambia Yesu"
|
|
|
|
# Tuamuru
|
|
|
|
"Amuru sisi Wayahudi"
|
|
|
|
# Hati ya talaka
|
|
|
|
Waraka unaohalalisha kisheria mwisho wa ndoa
|
|
|
|
# kwa sabau ya ugumu wa mioyo yenu
|
|
|
|
kwa sababu ninyi ni wasumbufu
|
|
|
|
# kwa ugumu ... aliwaruhusu ....wake zenu
|
|
|
|
wewe na yenu ziko katika wingi. Yesu anaongea na Mafarisayo, lakini Musa aliwapa shaeria hii miaka mingi iliyopita kwa mababu zao. amri ya Musa ilitumika kwa Wayahudi wote.
|
|
|
|
# tangu mwanzo
|
|
|
|
"Wakati Mungu alipomuumba mume mke hakupanga waachane"
|
|
|
|
# nawaambieni
|
|
|
|
anaongeza msisitizo
|
|
|
|
# na kumwoa mwingine
|
|
|
|
na kumwoa mwanamke mwingine
|
|
|
|
# Na mwanaume anayemwoa mwanamke ambaye ameachwa amefanya uzinzi
|
|
|
|
Maandishi mengi ya mwanzo hayajumuishi maneno haya.
|