sw_tn/mat/19/07.md

705 B

Wakamwambia

"Mafarisayo walimwambia Yesu"

Tuamuru

"Amuru sisi Wayahudi"

Hati ya talaka

Waraka unaohalalisha kisheria mwisho wa ndoa

kwa sabau ya ugumu wa mioyo yenu

kwa sababu ninyi ni wasumbufu

kwa ugumu ... aliwaruhusu ....wake zenu

wewe na yenu ziko katika wingi. Yesu anaongea na Mafarisayo, lakini Musa aliwapa shaeria hii miaka mingi iliyopita kwa mababu zao. amri ya Musa ilitumika kwa Wayahudi wote.

tangu mwanzo

"Wakati Mungu alipomuumba mume mke hakupanga waachane"

nawaambieni

anaongeza msisitizo

na kumwoa mwingine

na kumwoa mwanamke mwingine

Na mwanaume anayemwoa mwanamke ambaye ameachwa amefanya uzinzi

Maandishi mengi ya mwanzo hayajumuishi maneno haya.