sw_tn/mat/18/32.md

301 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwambia mfano wanafunzi wake

Kisha bwana wa mtumishi yule akamwita

"Kisha mfalme akamwita mtumwa wa kwanza"

ulinisihi

"uliniomba

Je, haukutakiwa kuwa na huruma kwa mtumwa mwenzio?

Mfalme anatuma swalikumkalipia mtumwa wa kwanza. "ulitakiwa ... wewe"