# Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwaambia mfano wanafunzi wake
# alienda na kumtupa gerezani
"yule mtumwa wa kwanza alienda na kumtupa gerezani mtumwa mwenzake"
# "watumwa menzake"
"watumwa wengine"
# walimwambia bwana wao
"walimwambia mfalme"