# alianguka, akapiga magoti chini
Hii inammanisha kuwa yule mtumwa aliongea na yule mfalme katika hali ua unnyenyekevu mkubwa.
# mbele yake
"mbele ya mfalme"
# alaisukumwa sana na huruma
"alimhurumia yulemtumwa"
# alimwachilia
alimwacha aende"