forked from WA-Catalog/sw_tn
558 B
558 B
Sentensi unganishi
Yesu anatumia mfano kufundisha juuya msamaha na mapatano
Ufalme wa mbinguni unafanana
Hii inatoa utangulizi wa mfano. Tazama 13:24
Kusahihisha hesabu na mtumwa wake
"ili awalipe watumwa wake kile walichostahili"
Mtumishi mmoja akaletwa
"mtu fulani akamleta mmoja wa watumishi wa wafalme"
Talanta elfu kumi
"Talanta 10,000" au " fedha nyingi zaidi kuliko mtumishi alizoweza kulipa
Mkuu wake aliamuru auzwe,...na malipo kufanyika
"mfalme aliwaamuru watumishi wake kumuuza huyo mtu...na kulipa deni kwa fedha ya mauzo"