sw_tn/mat/18/23.md

558 B

Sentensi unganishi

Yesu anatumia mfano kufundisha juuya msamaha na mapatano

Ufalme wa mbinguni unafanana

Hii inatoa utangulizi wa mfano. Tazama 13:24

Kusahihisha hesabu na mtumwa wake

"ili awalipe watumwa wake kile walichostahili"

Mtumishi mmoja akaletwa

"mtu fulani akamleta mmoja wa watumishi wa wafalme"

Talanta elfu kumi

"Talanta 10,000" au " fedha nyingi zaidi kuliko mtumishi alizoweza kulipa

Mkuu wake aliamuru auzwe,...na malipo kufanyika

"mfalme aliwaamuru watumishi wake kumuuza huyo mtu...na kulipa deni kwa fedha ya mauzo"