sw_tn/mat/18/17.md

300 B

akipuuza kuwasikiliza

kama huyo nndugu akipuuza kuwasiliza mashahidiuliokuja nao

kanisani

kwa waumini wote

Mwacheni awe kwenu kama mtu wa mataifa na mkusanya ushuru

"Mchukulie kama utakavyomchukulia mtu wa mataifa au "mtoza ushuru. Maana yake ni kwamba wamwondoe kati ya jamii ya waumini.