forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
557 B
Markdown
32 lines
557 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendele kuwatumia watoto wadogo kuwafundisha wanafunzi kueleza ulinzi wa Mungu kwa watu
|
|
|
|
# Unawaza nini?
|
|
|
|
"Fikiri watu wanavyofanya,"
|
|
|
|
# wewe ... yako
|
|
|
|
viwakilishi vya wingi
|
|
|
|
# ikiwa mtu ...wasiopotea
|
|
|
|
Yesu anatumia mfano kuwafundisha wanafunzi
|
|
|
|
# kondoo mia moja ...tisini n a tisa
|
|
|
|
100 ...99
|
|
|
|
# hatawaacha ...aliyepotea
|
|
|
|
Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi
|
|
|
|
# kweli nawaambia
|
|
|
|
nawaambia ukweli
|
|
|
|
# Siyo matakwa ya baba yenu wa mbinguni kuwa moja wa wadogo hao apotee
|
|
|
|
"Baba yenu mbinguni anataka wadogo wote hao waishi"
|