forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
674 B
Markdown
36 lines
674 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anahitimisha majibu yake kwa Mafarisayo
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Katika mstari wa 8 na 9Yesu anamnukuu nabii Isaya kwa kuwakemea Mafarisayo na waandishi
|
|
|
|
# ni vyema kama Isaya alivyotabiri juu yenu
|
|
|
|
Isaya alisema ukweli katika unabii wake juu ayenu
|
|
|
|
# alaposema
|
|
|
|
aliposema kile ambacho Mungu alisema
|
|
|
|
# watu hawa wananiheshimu mimi kwa midomo yao
|
|
|
|
Watu hawa wanasema kweli kwangu
|
|
|
|
# kwangu
|
|
|
|
viwakilishi vya "kwang"u vinaanisha Mungu
|
|
|
|
# lakini mioyo yaoiko mbali na mimi
|
|
|
|
watu hawjajitoa kwa ukweli kwa Mungu
|
|
|
|
# wananiabudu bure
|
|
|
|
"Ibaada zao hazina maana kwangu" au "wanaigiza kuniabudu mimi"
|
|
|
|
# maagizo ya wanadanu
|
|
|
|
"shseria ambazo watu hutengeneza
|