sw_tn/mat/15/07.md

674 B

Sentensi unganishi

Yesu anahitimisha majibu yake kwa Mafarisayo

Maelezo kwa ujumla

Katika mstari wa 8 na 9Yesu anamnukuu nabii Isaya kwa kuwakemea Mafarisayo na waandishi

ni vyema kama Isaya alivyotabiri juu yenu

Isaya alisema ukweli katika unabii wake juu ayenu

alaposema

aliposema kile ambacho Mungu alisema

watu hawa wananiheshimu mimi kwa midomo yao

Watu hawa wanasema kweli kwangu

kwangu

viwakilishi vya "kwang"u vinaanisha Mungu

lakini mioyo yaoiko mbali na mimi

watu hawjajitoa kwa ukweli kwa Mungu

wananiabudu bure

"Ibaada zao hazina maana kwangu" au "wanaigiza kuniabudu mimi"

maagizo ya wanadanu

"shseria ambazo watu hutengeneza