sw_tn/mat/13/54.md

772 B

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwanzo wa habari mpya inyotupeleka hadi 17:26, ambapo mwandishi anaeleza juu ya mwendelezo wa upinzani katika huduma ya Yesu kuhusu ufalme wa mbinguni. Hapa watu wa nyumbani kwao Yesu wanamkataa..

"mji wa nyumbani kwao

" Huu ni mji wa Nazarethi ambapo Yesu alikulia

katika masinagogi yao

kiwakilishi "yao" kinamaanisha watu wa eneo hilo

walishangaa

"walishangaa

Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza

"Yawezekananje mtu wa kawaida kama huyu kuwa na mwenye hekima na kufanya miujiza mikubwa.

Mtu hyu siyo mwana wa seremala ...ameyapata wapi haya yote.

Makutano wanatumia maswali haya, kuonyesha mshangao wao kuwa mtu wa kawaida kutoka mji wao anafanya mambo haya yote. Mtu wa kawaida hawezi kuyafanaya haya yote.