forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
772 B
Markdown
24 lines
772 B
Markdown
|
# Maelezo kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa habari mpya inyotupeleka hadi 17:26, ambapo mwandishi anaeleza juu ya mwendelezo wa upinzani katika huduma ya Yesu kuhusu ufalme wa mbinguni. Hapa watu wa nyumbani kwao Yesu wanamkataa..
|
||
|
|
||
|
# "mji wa nyumbani kwao
|
||
|
|
||
|
" Huu ni mji wa Nazarethi ambapo Yesu alikulia
|
||
|
|
||
|
# katika masinagogi yao
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi "yao" kinamaanisha watu wa eneo hilo
|
||
|
|
||
|
# walishangaa
|
||
|
|
||
|
"walishangaa
|
||
|
|
||
|
# Ni wapi mtu huyu alipopata hekima hii na miujiza
|
||
|
|
||
|
"Yawezekananje mtu wa kawaida kama huyu kuwa na mwenye hekima na kufanya miujiza mikubwa.
|
||
|
|
||
|
# Mtu hyu siyo mwana wa seremala ...ameyapata wapi haya yote.
|
||
|
|
||
|
Makutano wanatumia maswali haya, kuonyesha mshangao wao kuwa mtu wa kawaida kutoka mji wao anafanya mambo haya yote. Mtu wa kawaida hawezi kuyafanaya haya yote.
|