forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
721 B
Markdown
20 lines
721 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa chahu na jinsi inavyoweza kuufanya udongo
|
|
|
|
# Ufalme wa mbinguni ni kama chachu
|
|
|
|
Ufalme si kama chachu, lakini kusambaa kwa ufalme ni kama kusambaa kwa chachu
|
|
|
|
# ufalme wa mbinguni ni kama
|
|
|
|
ufalme wa mbinguni una, maanisha utawala wa Mungu kama mfalme..Kirai "ufalme wa mbinguni" kimetumika katika Mthayo tu. Mungu wetuwa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme itakuwa kama"
|
|
|
|
# vipimo vitatu kwa unga
|
|
|
|
"kipimo kikubwa cha unga" au tumia kipimo kinachotumika katika utamaduni wako cha kuonesha kipimo kikubwa cha unga.
|
|
|
|
# mpaka viumuke
|
|
|
|
Maana kusudiwa hpa ni kwamba, chachu na vile vipimo vitatu vya unga vilitengenezwa kwa ajiliya kuumulia.
|