sw_tn/mat/13/33.md

721 B

Sentensi unganishi

Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa chahu na jinsi inavyoweza kuufanya udongo

Ufalme wa mbinguni ni kama chachu

Ufalme si kama chachu, lakini kusambaa kwa ufalme ni kama kusambaa kwa chachu

ufalme wa mbinguni ni kama

ufalme wa mbinguni una, maanisha utawala wa Mungu kama mfalme..Kirai "ufalme wa mbinguni" kimetumika katika Mthayo tu. Mungu wetuwa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme itakuwa kama"

vipimo vitatu kwa unga

"kipimo kikubwa cha unga" au tumia kipimo kinachotumika katika utamaduni wako cha kuonesha kipimo kikubwa cha unga.

mpaka viumuke

Maana kusudiwa hpa ni kwamba, chachu na vile vipimo vitatu vya unga vilitengenezwa kwa ajiliya kuumulia.