forked from WA-Catalog/sw_tn
721 B
721 B
Sentensi unganishi
Yesu anaelezea ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa chahu na jinsi inavyoweza kuufanya udongo
Ufalme wa mbinguni ni kama chachu
Ufalme si kama chachu, lakini kusambaa kwa ufalme ni kama kusambaa kwa chachu
ufalme wa mbinguni ni kama
ufalme wa mbinguni una, maanisha utawala wa Mungu kama mfalme..Kirai "ufalme wa mbinguni" kimetumika katika Mthayo tu. Mungu wetuwa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme itakuwa kama"
vipimo vitatu kwa unga
"kipimo kikubwa cha unga" au tumia kipimo kinachotumika katika utamaduni wako cha kuonesha kipimo kikubwa cha unga.
mpaka viumuke
Maana kusudiwa hpa ni kwamba, chachu na vile vipimo vitatu vya unga vilitengenezwa kwa ajiliya kuumulia.