sw_tn/mat/13/31.md

669 B

Esntensi ungsnishi

Yesu anaufafanua ufalme wa mbinguni kwa kutumia mfano wa mbegu ambayo hukua na kuwa mti mkubwa

Ufalme wa mbinguni unafanana n a

"Wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapojidhihirisha kama mfalme kuwa mfalme, itakuwa kama", Tazama 13:24.

mbegu ya haradari

ni mbegu ndogo sana ambayo huweza kukua na kuwa mti mkubwa

Mbegu hii kwa hakika ni ndogo kuliko mbegu zingine zote

Mbegu za haradari zilikuwa mbegu ndogo zadi ambazo zilifahamika kwa wasikilizaji wa kwanza

Lakini imeapo

"Lakini mmea unapokuwa"

huwa kubwa kuliko

ni mkubwa kuliko

huwa mti

Mmea wa haradli hukua kiasi cha mita 2 had 4 za urefu

ndege awa angani

"ndege"