sw_tn/mat/13/29.md

493 B

Sentensi unganishi

Yesu anahitimishas mfano wa magugu yalyokua pamaoja na ngano shambani

Mwenye shamba akasema

"Mwenye shamba akasema kwa watumishi"

nitasema kwa wavunaji, 'kwanza yang'oeni magugu na yafungeni matita matita na kuyachoma, lakini kusanyeni ngano katika ghala langu,"

"Nitawaambia wavunaji kwanza kuyakusanya magugu na kuyafunga matita matita na kuyachoma, kisha kusanyeni ngano katika ghala langu"

ghala

Jengo la shambani ambalo lilitumika kwa kukusanyia nafaka.