sw_tn/mat/13/27.md

24 lines
389 B
Markdown

# Sentensi ungsnishi
Yesu anaendelea kueleza mfano wa magaugu na ngano kukua kwa pamoja katika shamba
# mwenye shamba
huyu ndiye aliyepanda mbegu nzuri shambani
# Haukupanda mbegunzuri katika shamba lako?
ulipanda mbegu nzuri katika shamba
# je, haukupanda
tulipanda
# akawaambia
"mwenye shamba akawaambia watumishi"
# kwa hiyo unatutaka
kiwakilishi "tu" kinamaanisha watumishi