sw_tn/mat/13/27.md

389 B

Sentensi ungsnishi

Yesu anaendelea kueleza mfano wa magaugu na ngano kukua kwa pamoja katika shamba

mwenye shamba

huyu ndiye aliyepanda mbegu nzuri shambani

Haukupanda mbegunzuri katika shamba lako?

ulipanda mbegu nzuri katika shamba

je, haukupanda

tulipanda

akawaambia

"mwenye shamba akawaambia watumishi"

kwa hiyo unatutaka

kiwakilishi "tu" kinamaanisha watumishi