sw_tn/mat/13/24.md

973 B

Sentensi unganishi

Hapa Yesu anaelezea juu ya uafalme wa mbinguni kwa kutumia mfanao wa shamba lilikuwa na ngano na magugu vikikuwa pamoja

Ufalme wa mbinguni umefananishwa

tafasiri islinganishe ufame wa mbinguni na mtu, bali ufalme wa mbinguni kama ulivyoelezwa kwenye mfano.

ufalme wa mbinguni umefananishwana mtu

"Wakti Mungu wa mbinguni atakapojionesha kama mfalme"

ufalme wa mbinguni umefananishwa n

wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapojidhirisha kama mfalme, itkuwa kama

mbegu nzuri

"mbegu nzuru ya chakula" au "nafaka nzuri"

adaui ake akaja

"adaui wake akaja shambani"

magugu

magugu huonekena kama mimea ya chakula yanapokuwa hayajakomaa. laini mbegu zake huwa nasumu" au "mbegu mbaya" au mbegu za magugu"

baadaye ngano ilipoota

"badaye mbegu za ngano zilipoota" au "wakati mimea ilipochipua"

ilipotoa mazao

"ilipotoa nafaka" au "ilipotoa mbegu za ngano"

ndipo magugu yalitokea pia

"watu waliweza kuyaona magugu shambani pia"