forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
973 B
Markdown
40 lines
973 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Hapa Yesu anaelezea juu ya uafalme wa mbinguni kwa kutumia mfanao wa shamba lilikuwa na ngano na magugu vikikuwa pamoja
|
||
|
|
||
|
# Ufalme wa mbinguni umefananishwa
|
||
|
|
||
|
tafasiri islinganishe ufame wa mbinguni na mtu, bali ufalme wa mbinguni kama ulivyoelezwa kwenye mfano.
|
||
|
|
||
|
# ufalme wa mbinguni umefananishwana mtu
|
||
|
|
||
|
"Wakti Mungu wa mbinguni atakapojionesha kama mfalme"
|
||
|
|
||
|
# ufalme wa mbinguni umefananishwa n
|
||
|
|
||
|
wakati Mungu wetu wa mbinguni atakapojidhirisha kama mfalme, itkuwa kama
|
||
|
|
||
|
# mbegu nzuri
|
||
|
|
||
|
"mbegu nzuru ya chakula" au "nafaka nzuri"
|
||
|
|
||
|
# adaui ake akaja
|
||
|
|
||
|
"adaui wake akaja shambani"
|
||
|
|
||
|
# magugu
|
||
|
|
||
|
magugu huonekena kama mimea ya chakula yanapokuwa hayajakomaa. laini mbegu zake huwa nasumu" au "mbegu mbaya" au mbegu za magugu"
|
||
|
|
||
|
# baadaye ngano ilipoota
|
||
|
|
||
|
"badaye mbegu za ngano zilipoota" au "wakati mimea ilipochipua"
|
||
|
|
||
|
# ilipotoa mazao
|
||
|
|
||
|
"ilipotoa nafaka" au "ilipotoa mbegu za ngano"
|
||
|
|
||
|
# ndipo magugu yalitokea pia
|
||
|
|
||
|
"watu waliweza kuyaona magugu shambani pia"
|