sw_tn/mat/13/22.md

48 lines
1.2 KiB
Markdown

# Sentensi unganishi
Yesu anaendelea kuwawleza wanafunziwake kuhusu mfano wa mpanzi
# aliyepandwa
hii ni mbegu iliyopandwa au iliyoanguka
# iliyopandwa kati ya miiba
ardhi ilyo na miiba amabapo mbegu ilipandwa
# huyu ni yule
inamaanisha mtu
# neno
inaanisha ujumbe wa Mungu
# masumbuko ya ulimwengu na udanganyifu wa utajiri hulisonga lile nenoi
Yesu anaongelea masumbufu ya ulimwengu na udanganyifu wa utajiri hugeuza nia ya mtu na kushindwa kutii neno la Mungu kama vile magugu yanavyoweza kuuelemea mmea na kushindwa kukua.
# masumbko ya ulimwengu
"mamabo ya dunia ambayo huwafanyawatu wawe na mashaka
# udanganyifu wa utajiri
Yesu anautumia utajiri kama mtu adanganyaye watu. Hii inamaanisha kuwa watu hudhani kuwa na pesa nyingi huwafanya kuwa na furaha, lakini si kweli.
# lisije likazaa matunda
kutokuzaa matunda
# aliyepandwa kwenye udongo mzuri
kwenye udongo mzuri ambapo mbegu zilipandwa
# azaaye matunda na kuendela kuzaa
Hapa mtu amefananishwa na mti uzaao. "Kama mti wenye afya uzaoa matunda, ambaye ni mzalishaji.
# kuzaa moja zaidi ya mara mia, nyingine sitini, nyingine thelatiini
watu wengine huzalisha 100 mara, wengine 60 na wengine 30.