sw_tn/mat/13/22.md

1.2 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwawleza wanafunziwake kuhusu mfano wa mpanzi

aliyepandwa

hii ni mbegu iliyopandwa au iliyoanguka

iliyopandwa kati ya miiba

ardhi ilyo na miiba amabapo mbegu ilipandwa

huyu ni yule

inamaanisha mtu

neno

inaanisha ujumbe wa Mungu

masumbuko ya ulimwengu na udanganyifu wa utajiri hulisonga lile nenoi

Yesu anaongelea masumbufu ya ulimwengu na udanganyifu wa utajiri hugeuza nia ya mtu na kushindwa kutii neno la Mungu kama vile magugu yanavyoweza kuuelemea mmea na kushindwa kukua.

masumbko ya ulimwengu

"mamabo ya dunia ambayo huwafanyawatu wawe na mashaka

udanganyifu wa utajiri

Yesu anautumia utajiri kama mtu adanganyaye watu. Hii inamaanisha kuwa watu hudhani kuwa na pesa nyingi huwafanya kuwa na furaha, lakini si kweli.

lisije likazaa matunda

kutokuzaa matunda

aliyepandwa kwenye udongo mzuri

kwenye udongo mzuri ambapo mbegu zilipandwa

azaaye matunda na kuendela kuzaa

Hapa mtu amefananishwa na mti uzaao. "Kama mti wenye afya uzaoa matunda, ambaye ni mzalishaji.

kuzaa moja zaidi ya mara mia, nyingine sitini, nyingine thelatiini

watu wengine huzalisha 100 mara, wengine 60 na wengine 30.