sw_tn/mat/13/20.md

657 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kwaeleza wanafunzi wake mfano wa mpanzi

yeye aliyepandwa katika miamba

"kilichopandwa" kinamaanisha mbegu iliyoanguka kwenye miamba.

Kilichopandwa kwenye miamba ni

miamba ambapo mbegu zilianguka inmaanisha udongo uliokuwa juu ya miamba ambapo mbegu zilianguka

yule asikiaye neno

katika mfano, mbegu zinamaanisha neno

neno

ujumbe wa Muungu

hulipokea kwa furaha

kulipokea neno kwa furaha

ila hana mizizi ndani yake hiyo huvumilia kwa kitambo kifupi.

mizizi inamaanisha kile kinachomfanya mtu aendelee kuamini ujumbe wa Mungu

hujikwaa ghafla

kujikwaa humaanisha kuacha kuamini ujumbe wa Mungu