sw_tn/mat/13/16.md

820 B

Sentensi unganishi

Yesu anamaliza kuongea na wanafyunzi wake kwa nini anaongea nao kwa mifano

Bali macho yenu yameberikiwa kwa kuwa yanaona, na masikio yenu, kwa kuwa yanasikia

Sentensi zote zina maanisha kitu kilekile. Yesu anasisitiza kuwa wamempendeza kwa sababu wameamini kile ambacho Yesu amesema na wamefanya.

Bali macho yenuyamebarikiwa kwa kuwa yanaona

macho yanamaanisha nafsi kamili. mmebarikiwa kwa sababu machoyenu yanaweza kuona

Yenu .. wewe

viwakilishi hivi ni vya wingi

na masikio yenu, kwa vile yanaona

masikio yanmaanisha nafsi kamili

hakika nawambia

"nawambia ukweli" hii inaongeza msisitizo kwa kile anlichosema Yesu baadaye.

mamabo mnayoyaona

Unaweza kuyaweka wazi yale waliyoyaona "Yle mambo uliyoyaona mimi nikfanya

mambo uliyoyasikia

mambo uliyosikia mimi nikisema