forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1016 B
Markdown
32 lines
1016 B
Markdown
# Sentens iunganishi
|
|
|
|
Yesu anamaliza kumnukuu Isaya
|
|
|
|
# Na mioyo ya watu hawa ... ningewaponya
|
|
|
|
Ktika 13:15 Mungu anawaeleza watu wa Israwli kana kwamba ni wenya ugonjwa wa mwili ambao unawafanya wasiweze kuelewa, kuona na kusikia Mungu anawataka waje kwake ili awaponye.
|
|
|
|
# Mioyo ya watu hawa imekuwa giza
|
|
|
|
Mioyo inamaanisha akili. "mioyo yao imekuwa migumu kujifunza"
|
|
|
|
# ni vigumu kusika
|
|
|
|
wao si viziwa wa masikioya mwili 'vigumu kusikia"wanakataa kusika na kujifunza ukweli wa Mungu
|
|
|
|
# wamefumba macho yao
|
|
|
|
hawajafumba macho yao ya mwaili. hii inamaanisha hawataki kuelewa.
|
|
|
|
# ili wasiweze kuona kwa macho yao au kusikia kwa masikkio yao auakuelewa kwa mioyo yao, hivyo wangenigeukia tena.
|
|
|
|
"ili kwamba wasiweze kuona kwa macho yao, kusikia kwa masiko yao, au kuelewa kwa mioyo yao amabyo matokeo yake ni kumrudia Mungu.
|
|
|
|
# wangenigeukia
|
|
|
|
"kugeukia kwangu tena" au "kutubu"
|
|
|
|
# ningewaponya
|
|
|
|
"mimi ningewaponya" Hii inamaanisha Mungu angewaponya kiroho kwa kuwasamehe makosa yao na kuwapokea tena kama awatu wake.
|