sw_tn/mat/13/15.md

1016 B

Sentens iunganishi

Yesu anamaliza kumnukuu Isaya

Na mioyo ya watu hawa ... ningewaponya

Ktika 13:15 Mungu anawaeleza watu wa Israwli kana kwamba ni wenya ugonjwa wa mwili ambao unawafanya wasiweze kuelewa, kuona na kusikia Mungu anawataka waje kwake ili awaponye.

Mioyo ya watu hawa imekuwa giza

Mioyo inamaanisha akili. "mioyo yao imekuwa migumu kujifunza"

ni vigumu kusika

wao si viziwa wa masikioya mwili 'vigumu kusikia"wanakataa kusika na kujifunza ukweli wa Mungu

wamefumba macho yao

hawajafumba macho yao ya mwaili. hii inamaanisha hawataki kuelewa.

ili wasiweze kuona kwa macho yao au kusikia kwa masikkio yao auakuelewa kwa mioyo yao, hivyo wangenigeukia tena.

"ili kwamba wasiweze kuona kwa macho yao, kusikia kwa masiko yao, au kuelewa kwa mioyo yao amabyo matokeo yake ni kumrudia Mungu.

wangenigeukia

"kugeukia kwangu tena" au "kutubu"

ningewaponya

"mimi ningewaponya" Hii inamaanisha Mungu angewaponya kiroho kwa kuwasamehe makosa yao na kuwapokea tena kama awatu wake.