sw_tn/mat/13/10.md

1.2 KiB

Maelezo kwa ujumla

Yesu anawaeleza wanafunzi wake kwa nini anafundisha kwa kutumia mifano

kwao

Hapa"kwao" inamaanisha wanafunzi wa Yesu

mmepewa upendeleo wa kufahamu siri za ufalme wa mbinguni bali kwao hawajapewa

Hii inaweza kutafasiriwa kwa kutumia muundo tendaji na kutumia taarifa zinazotolewa. " Mungu amewapa fursa ya kuelewa siri za ufalme wa mbinguni" lakini Mungu hajawapa siri hizi watu hawa" au " Mungu amewafnya ninyi kuzielwa siri za ufalme wa mbinguni lakini hajawafanya hawa tayri kuzielewa"

mme

ni kiwakilishi cha wingi kinacho maanisha wanafunzi wa Yesu

siri za ufalme wa mbinguni

Hapa"ufalme" inamaanisha utawala wa Mungu. Kirai"udalme wa mbinguni" kinaonekena kwenye kitabucha mathayo tu. Kama inawezekana jaribu kuiweka katika tafsiri y ako. "siri kuhusu Mungu wetu na utawala wake"

yeyote aliye nacho

"yeyote aliye na ufahamu" au "yeyote anayepokea kile nanachofundisha"

ataongezewa zadi

Hiiinaweza kutafsiriwa katika muundo tendaji. "Mungu atampatia ufahamu zaidi"

ila asiye nacho

"asiye na ufahamu" au " asiyepokea hiki ninachofudisha"

hata kile alicho nacho atanyang'anywa

Hii inaweza kuelezwa katika muundo tendaji. "Mungu atakichukua hata kile alicho nacho"