forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
980 B
Markdown
32 lines
980 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi lililoanzia 12:1 amabapomwadishi ameeleza juu ya kukua kwa upinzani katika huduma ya Yesu
|
|
|
|
# aliyemjulisha
|
|
|
|
ukweli wa ujumbe ambao yule mtu aliomwambia Yesu unaeleweka na haukurudiwa. "aliyemwambia Yesu kuwa mama yake na ndugu zake walitka kuongea naye"
|
|
|
|
# mamayangu ni nani? na ndugu zangu nu akina nani?
|
|
|
|
Yesu antumia swali hili kuwafundisha watu. "nitwaambia kweli mamayangu na ndugu zangu ni nani"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"anagalia" Hii inatia msisitizo wa kile ambacho Yesu alisema baadaye"
|
|
|
|
# hawa ni mama na ndugu zangu
|
|
|
|
Hii ni sitiari inayoonesha kuwa wanafunzi wa Yesu ni wake katika familia ya kiroho. Hii ni ya muhimu kuliko kuwa kwenye familia ya kimwili.
|
|
|
|
# yeyote
|
|
|
|
"mtu yeyote"
|
|
|
|
# baba
|
|
|
|
Hii ni sifa muhimu ya Yesu
|
|
|
|
# huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu
|
|
|
|
Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa wale amabo wanamtii Mungu wanakuwa kwenye familia ya Yesu kiroho. Hii ni muhmu zaidi ya kuwa kwenye familia ya kimwili
|