sw_tn/mat/12/48.md

980 B

Sentensi unganishi

Huu ni mwisho wa sehemu ya simulizi lililoanzia 12:1 amabapomwadishi ameeleza juu ya kukua kwa upinzani katika huduma ya Yesu

aliyemjulisha

ukweli wa ujumbe ambao yule mtu aliomwambia Yesu unaeleweka na haukurudiwa. "aliyemwambia Yesu kuwa mama yake na ndugu zake walitka kuongea naye"

mamayangu ni nani? na ndugu zangu nu akina nani?

Yesu antumia swali hili kuwafundisha watu. "nitwaambia kweli mamayangu na ndugu zangu ni nani"

Tazama

"anagalia" Hii inatia msisitizo wa kile ambacho Yesu alisema baadaye"

hawa ni mama na ndugu zangu

Hii ni sitiari inayoonesha kuwa wanafunzi wa Yesu ni wake katika familia ya kiroho. Hii ni ya muhimu kuliko kuwa kwenye familia ya kimwili.

yeyote

"mtu yeyote"

baba

Hii ni sifa muhimu ya Yesu

huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu na mama yangu

Hii ni sitiari inayomaanisha kuwa wale amabo wanamtii Mungu wanakuwa kwenye familia ya Yesu kiroho. Hii ni muhmu zaidi ya kuwa kwenye familia ya kimwili