forked from WA-Catalog/sw_tn
64 lines
1.5 KiB
Markdown
64 lines
1.5 KiB
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotikiwa kuvumilia pindi watakapoenda kuhubiri
|
|
|
|
# Ndugu atamwinukia ndugu yake kumwua, na baba kwa mtoto wake
|
|
|
|
Kirai hiki cha "baba na mtoto wake" kinawza kutafsiriwa kama sentensi timilifumilifu. Ndugu atamwinukia ndugu na kumwua, na baba atamwinukia mtoto wake na kumwua"
|
|
|
|
# kumwinukia
|
|
|
|
"saliti" au "kumtoa" Tazama ilivyotafsiriwa kwenye 10:6
|
|
|
|
# kifo
|
|
|
|
Nomino dhania "kifo" inaweza kutafsiriwa uthabiti, kwa uwazi zaidi. "mahakamani il mamlaka iweze kuwahumu
|
|
|
|
# kumwinukia dhidi ya
|
|
|
|
"kupigana dhidi" au "kwenda kinyume dhidi ya"
|
|
|
|
# na kusababisha kuingia katika kifo
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "na kuwaweka katika kifo" au "na wenye mamlaka kuwaweka katika kifo"
|
|
|
|
# Nanyi mtachukiwa na kila mtu
|
|
|
|
Hii inaweza kutafsirika katika muundo tendaji. "Kila mtu atawachukia" au "Watu wote watawachukia ninyi"
|
|
|
|
# nanyi
|
|
|
|
Hiki ni kiwakilishi cha wingi kichonamaanisha mitume kumi na mbili.
|
|
|
|
# kwa sababu ya jina langu
|
|
|
|
Hapa "jina" inamaanisha ukamilfu wa nafsi "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mlinitumaini mimi"
|
|
|
|
# yeyote atakayevumilia
|
|
|
|
" atakayebaki kuwa mwaminif."u
|
|
|
|
# mtu huyo ataokolewa
|
|
|
|
"yeyote atakayekuwa mwaminifu"
|
|
|
|
# mji huu
|
|
|
|
Neno "hapa" halina maana ya mji maalumu. "mji mmoja"
|
|
|
|
# kimbilieni mji unaofuata
|
|
|
|
"mwende mji unaofuata"
|
|
|
|
# Kwa kweli nawaambia
|
|
|
|
"Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atasema baadaye.
|
|
|
|
# Mwana wa Adamu
|
|
|
|
Yesu anaongea juu yake mwenyewe
|
|
|
|
# amekuja
|
|
|
|
"amewasili"
|