# Sentensi unganishi Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotikiwa kuvumilia pindi watakapoenda kuhubiri # Ndugu atamwinukia ndugu yake kumwua, na baba kwa mtoto wake Kirai hiki cha "baba na mtoto wake" kinawza kutafsiriwa kama sentensi timilifumilifu. Ndugu atamwinukia ndugu na kumwua, na baba atamwinukia mtoto wake na kumwua" # kumwinukia "saliti" au "kumtoa" Tazama ilivyotafsiriwa kwenye 10:6 # kifo Nomino dhania "kifo" inaweza kutafsiriwa uthabiti, kwa uwazi zaidi. "mahakamani il mamlaka iweze kuwahumu # kumwinukia dhidi ya "kupigana dhidi" au "kwenda kinyume dhidi ya" # na kusababisha kuingia katika kifo Hii inaweza kutafsiriwa katika mfumo tendaji. "na kuwaweka katika kifo" au "na wenye mamlaka kuwaweka katika kifo" # Nanyi mtachukiwa na kila mtu Hii inaweza kutafsirika katika muundo tendaji. "Kila mtu atawachukia" au "Watu wote watawachukia ninyi" # nanyi Hiki ni kiwakilishi cha wingi kichonamaanisha mitume kumi na mbili. # kwa sababu ya jina langu Hapa "jina" inamaanisha ukamilfu wa nafsi "kwa sababu yangu" au "kwa sababu mlinitumaini mimi" # yeyote atakayevumilia " atakayebaki kuwa mwaminif."u # mtu huyo ataokolewa "yeyote atakayekuwa mwaminifu" # mji huu Neno "hapa" halina maana ya mji maalumu. "mji mmoja" # kimbilieni mji unaofuata "mwende mji unaofuata" # Kwa kweli nawaambia "Nawaambia ukweli." Kirai hiki kinaongeza msisitizo wa kile ambacho Yesu atasema baadaye. # Mwana wa Adamu Yesu anaongea juu yake mwenyewe # amekuja "amewasili"