sw_tn/mat/10/19.md

984 B

Sentensi unganishi

Yesu anaendelea kuwaelekeza wanafunzi wake kuhusu dhiki wanayotakiwa kuvumilia pindi watapoenda kuhubiri

msi...yenu

kiwakilishi "msi" na "yenu" vinamaanisha mitume kumi na wawili

msiwe na wasiwasi

"msiwe na hofu"

jinsi gani au nini cha kuongea

"jinsi gani ya kuongea au nini cha kusema." Haya mawazo mawili yanaweza kujumuishwa:"Ni nini cha kusema"

kwa kuwa kitu cha kusema mtapewa

Hii inaweza kutafsirika katika mfumo tendaji. "Kwa kuwa Roho mtakatifu atawapa cha kusema"

kwa wakati huo

Hapa wakati" unamaanisha "muda huohuo" au "kwa muda huo"

Pindi watakapowashutumu

Kipindi watu watakapowashitaki kwenye mabaraza.""watu" hapa ni wale wale "watu"

Roho ya Mungu wako

Ikiwa muhimu, inaweza kutafsiliwa kama "Roho ya Mungu baba yako aliye mbinguni" au nyongeza inaweza kuongezwa ili kufafanua kwamba inamaanisha Roho ya Mungu baba na sio roho ya baba wa ulimwengu.

Baba

Hii ni sifa muhimu ya Mungu.

Ndani yako

"kupitia ninyi"