sw_tn/mat/10/08.md

36 lines
1.1 KiB
Markdown

# Sentensi unganishi
Yesu anaendele kuwaelekeza wanafunzi wake mambo ya kufanya watakapoenda kuhubiri.
# mme....zenu
Hivi ni viwakilishi vya wingi vinavyomaanisha mitume kumi na wawili
# Mmepokea bure toeni bure
kuna taarifa hapa ambazo hazikuelezwa, lakini inaeleweka . " Nilwasaidia na kuwafundisheni neno la Mungu bure. Kwa hiyo msiwafanye watu wengine wawalipe kwa lengo la kuwasaidia au kuwafundisha ukweli wa Munugu.
# dhahabu,fedha au shaba
Hizi ni metali ambazo zilitumika kutengeneza sarafu. Hii orodha ni ya hela, ikiwa metali hazijulikani katika eneo lako, tafasiri orodha kama"hela."
# pochi
Hii ina maana "mkanda" au "mkanda wa fedha," lakini kinamaanisha chochote kinachotumika kubebea hela. Mkanda ni kitu kirefu cha kujifunga cha nguo au ngozi kinachopita begani. Kilikuwa ni kipana ambacho kiliweza kukunjwa na kutumiwa kubeba hela
# begi la kusafiria
Hii inaweza kuwa begi lolote linalotumika kubeba kitu safarini au begi linalotumiwa na mtu mmoja kukusanya chakula au hela.
# nguo ya ziada
Tumia neno hilo hilo ulilotumia kwa "nguo"
# mfanyakazi
"mfanyakazi"
# chakula chake
Hapa "chakula" Kitu chochote ambacho ni hitaji kwa mtu.