sw_tn/mat/10/08.md

1.1 KiB

Sentensi unganishi

Yesu anaendele kuwaelekeza wanafunzi wake mambo ya kufanya watakapoenda kuhubiri.

mme....zenu

Hivi ni viwakilishi vya wingi vinavyomaanisha mitume kumi na wawili

Mmepokea bure toeni bure

kuna taarifa hapa ambazo hazikuelezwa, lakini inaeleweka . " Nilwasaidia na kuwafundisheni neno la Mungu bure. Kwa hiyo msiwafanye watu wengine wawalipe kwa lengo la kuwasaidia au kuwafundisha ukweli wa Munugu.

dhahabu,fedha au shaba

Hizi ni metali ambazo zilitumika kutengeneza sarafu. Hii orodha ni ya hela, ikiwa metali hazijulikani katika eneo lako, tafasiri orodha kama"hela."

pochi

Hii ina maana "mkanda" au "mkanda wa fedha," lakini kinamaanisha chochote kinachotumika kubebea hela. Mkanda ni kitu kirefu cha kujifunga cha nguo au ngozi kinachopita begani. Kilikuwa ni kipana ambacho kiliweza kukunjwa na kutumiwa kubeba hela

begi la kusafiria

Hii inaweza kuwa begi lolote linalotumika kubeba kitu safarini au begi linalotumiwa na mtu mmoja kukusanya chakula au hela.

nguo ya ziada

Tumia neno hilo hilo ulilotumia kwa "nguo"

mfanyakazi

"mfanyakazi"

chakula chake

Hapa "chakula" Kitu chochote ambacho ni hitaji kwa mtu.