sw_tn/mat/10/02.md

821 B

Maelezo kwa ujumla

Hapa mwanadishi anatoa majina kumi na mbili ya mitume kama taarifa ya itoayo picha ya nyuma.

sasa

Neno hili limetumika hapa kuonesha mwanzo wa simulizi jipya. Hapa Mathayo anaonesha historia ya maisha ya mitume kumi na wawili.

Mitume kumi na wawili

Hili kundi ni sawa na kusema "wanafunzi kumi na wawili" katka 10:1

Kwanza

Hi ya kwanza kwa mpangilio si kwa safu

Mkananayo

Hii inaweza kumaanisha yafuatayo 1) "Mkananayo" hii ni sifa iliyoonesha kuwa alikuwa ni mshirika wa kundi lililotaka kuwaweke huru wayahudi kutoka kwenye utawala wa Warumi. "Mzalendo" au "mmajumui" au 2) Mkereketwa ni neno linalonesha mtu mwenye kutamani kumjengea heshima Muungu. "mwenye uchu"

Mathayo mtoza ushuru

"Mathayo ambaye alikuwa mtoza ushuru"

ambaye atamsaliti yeye

"ambaye atamsaliti Yesu"