forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
551 B
Markdown
20 lines
551 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Hii inahitimisha simulizi la Yesu la kumfufua binti wa afisa wa Kiyahudi
|
|
|
|
# Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
Mstari wa 26 unatoa muhtasari unaofafanua matokeo ya Yesu kumfufua huyu msichana.
|
|
|
|
# Na wale watu walipotolewa nje
|
|
|
|
"Baada ya yesu kuwatoa watu nje" au "Baada ya familia kuwatoa watu nje"
|
|
|
|
# akaamka
|
|
|
|
"akaamka kutoka kitandani" Hii ni maana ile ile kama iliyo kwenye 8:14
|
|
|
|
# Habari hii ikaenea mji mzima
|
|
|
|
Watu wote wa mji ule walisikia kuhusu hilo" au "Watu walioona binti akiwa hai walianza kuwaambia watu wa eneo hilo habari hizi."
|