forked from WA-Catalog/sw_tn
18 lines
456 B
Markdown
18 lines
456 B
Markdown
# Mathayo 08 Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
## Muundo na upangiliaji
|
|
|
|
Sura hii inaanza sehemu mpya.
|
|
|
|
## Dhana maalum katika sura hii
|
|
|
|
### Miujiza
|
|
|
|
Miujiza ya Yesu katika sura hii inaonyesha kwamba ana mamlaka juu ya mambo yanayopita udhibiti wa binadamu. Inaonyesha pia kwamba kumwabudu Yesu ni jibu sahihi kwa matendo yake. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/authority]])
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[Matthew 08:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../07/intro.md) | [>>](../09/intro.md)__
|