forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
629 B
Markdown
32 lines
629 B
Markdown
# sasa
|
|
|
|
hili neno linaonyesha kwamba mwandishi atawaambia wasomaji habari anazotaka kufahamu kabla ya hadithi kuendelea. Nguruwe walikuwa kule kabla ya Yesu kufika.
|
|
|
|
# Ikiwa utatuamuru tutoke
|
|
|
|
"kwa sababuunakwenda kututoa sisi nje"
|
|
|
|
# sisi
|
|
|
|
Hii ni pamoja ,ina maanisha nguruwe pekee"
|
|
|
|
# wao
|
|
|
|
mapepo ndani ya mtu
|
|
|
|
# Mapepo wakawatoka na kwenda kwa nguruwe
|
|
|
|
"Mapepo wakamwacha mtu na kuwaingia nguruwe"
|
|
|
|
# ndipo
|
|
|
|
Neno "ndipo" hapa linatoa angalizo kwetu kuwa tayari kwa taarifa za kushangaza zinazokuja.
|
|
|
|
# likashuka chini kutokea mlimani
|
|
|
|
"kimbia haraka chini kwenye mteremko"
|
|
|
|
# likafia majini
|
|
|
|
"waliingia kwenye maji na kuzama"
|