sw_tn/mat/08/01.md

1.1 KiB

Maelezo kwa ujumla

Huu ni mwanzo wa sehemu mpaya ya simulizi ambalo limebeba simulizi nyingi za uponya wa watu. Wazo hili linaendelea hadi hadi 9:35.

Wakati Yesu alipokuja kushuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata.

"Baada ya Yesu kuja kushuka chini kutoka mlimani, umati mkubwa ulimfuata," Umati yawezekana ulijumuisha watu waliokuwa nae juu mlimani na watu ambao hawakuwahi kuwa nae.

Tazama

Neno "tazama" inatupa dokezo sisi la mtu mwingine katika hadithi. Lugha inaweza kuwa namna ya kufanya hivyo.

mkoma

"mtu ambaye ana ukoma" au "mtu ambaye ana ugonjwa wa ngozi"

kusujudu mbele yake

Hii ni ishara ya unyenyekevu heshima mbele ya Yesu.

Ikiwa unataka

"ikiwa unataka kufanya" au "ikiwa unahitaji" mwenye ukoma alijua yesu ana nguvu za kumponya, lakini hakujua endapo Yesu alitaka kumgusa yeye.

wewe unaweza kunisafisha

Hapa "kusafisha" maana yake kuponywa na ili kuweza kuishi kwenye jamii tena."

mara moja

"sasa hivi"

naye akasafishwa ukoma wake

Matokeo ya Yesu kusema"Uwe mzima" ilikuwa kwamba mtu huyo akaponywa.Hii inaweza kuelezwa kwa mfumo hai.AT:"yeye alikuwa mzima" au "ukoma ulimwacha" au "ukoma ulikoma"